1 Kings 9:8-9
8 aIngawa hekalu hili linavutia sasa, wote watakaolipita watashangaa na kudhihaki wakisema, ‘Kwa nini Bwana amefanya kitu kama hiki katika nchi hii na kwa Hekalu hili?’ 9 bWatu watajibu, ‘Kwa sababu wamemwacha Bwana Mwenyezi Mungu wao, aliyewatoa baba zao Misri, nao wamekumbatia miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu Bwana ameyaleta maafa haya yote juu yao.’ ”Shughuli Nyingine Za Sulemani
(2 Nyakati 8)
Copyright information for
SwhKC